Thursday, March 30, 2017

SHEKH SHARIF KHAMIS AREJEA NA SIRI NZITO KWA WATANZANIA, ASEMA ATAKACHOWAFANYIA WATANZANIA MMH…!

0 comments
Nyerere Shekh Sharif Khamis Na Mwanaidi Othuman- Pazia Jeusi Tanzania Baada ya ziara ya Kenya kwa takriban miezi mitano  kijana mwenye karama ya ajabu Shekh Sharif Khamis sasa amerejea nchini huku akitoa uwito kwa watanzania kutumia nafasi hiyo kufika kwake kwa ajiri  kupokea uponyaji kupitia dua atakazowaombie watanzania. Akiongea na mwandishi wetu juzi wakati katika Uwanja wa...
SOMA ZAIDI ...

Saturday, March 11, 2017

EXCLUSIVE NEWS: MSANII MANAIKI SANGA APOTEZA FAHAMU BAADA YA KULA HASARA YA MILIONI MIA TANO. NI YA POMBE KALI AINA YA VIROBA ZINAZOTAKIWA KUTEKETEZWA, ALAZWA HOSPITAL…!

0 comments
Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...
SOMA ZAIDI ...

MWANAMUZIKI MR BLUE APIMANA MISURI NA JESHI LA POLISI, ASHUKA NA NDEGE NCHNI KENYA AKITOKEA NJE AINGIA NCHINI KIMYA KIMYA, AISHI KAMA DIGI DIGI PAZIA JEUSI LINAKUPA A-Z...!

0 comments
 KAMANDA SIRRO VS RC MAKONDA MWANAMUZIKI MR BLUE. Na Mwandishi wa Pazia Jeusi- Tanzania Mwanamuziki wa bongo flava  Herry Sameer aka Mr Blu ambaye hivi karibuni alitajwa kati ya  watu wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya madawa ya kulevya  amerejaea nchini kimya kimya na sasa imeelezwa anaishi kama digidigi kukwepa mkono wa Serikali. Habari za uhakika zilizothibishwa na...
SOMA ZAIDI ...

Wednesday, December 14, 2016

NILIAHIDIWA USTAA KAMA NINGETOA RUSHWA YA NGONO KWA MR CHULZ- TRACY MOSHI…!

0 comments
Msanii Tracy Moshi ”Breen” Mr. Chuz na Kabula aliyezaa nae mtoto mmoja. Na Mwandishi Wetu Msanii mchanga kwenye kiwanda cha filamu Tanzania Tracy Moshi ”Breen” ameibuka na kumwaga mboga jinsi msanii na Director Tuesday Kihangala 'Mr. Chuz' alivyomuaidi ustaa kama angetoa uroda. Msanii huyo toka Mkoa wa Tanga ambaye ametambulishwa vyema kwenye filamu alizocheza kama filama ya msanii Manaiki Sanga...
SOMA ZAIDI ...

Sunday, August 7, 2016

RC MAKONDA, MSTAHIKI MEYA NA MKUU WA WILAYA KINONDONI WAZUSHA HOFU JIJINI DAR, WANANCHI WATAKA JUHUDI ZA HARAKA KUCHUKULIWA ILI KUNUSURI HALI HIYO....!

0 comments
 Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama Mkoa wa Dar RC PAUL MAKONDA ambae amekiwa kivutio kwa wakazi wa Jiji hasa wanyonge kutokana na kujitoa muhanga kwenye mambo mbalimbali kwa ajiri ya kuwatete. Utendaji wake mzuri toka akiwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni ndiyo uliopelekea Mheshimiwa Rais kumteua kuwa mkuu wa Mkoa. Ambapo Makonda ambaye amekuwa akifanya mambo yake kwa kwa haki na uwazi amesababisha...
SOMA ZAIDI ...

.

 

Copyright © 2025 MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king