Monday, July 20, 2015

SAMAHANI KWA PICHA HIZI MBAYA: MWANAMUZIKI WA INJILI APIGA PICHA ZA UCHI MPYA, MASTA WA NYIMBO ZA INJILI WALANI VIKALI WASEMA WATAMSHITAKIA KWA MUNGU KWA UPUUZI ANAOUFANYA KUWACHAFUA...!


 PATA BAHATI YA KUANGALIA MOVIE YA AJABU YA MSANII MANAIKI SANGA IITWAYO WAKE UP ILIYOWASHIRIKISHA WAHINDI NA MASTAA KINAO. FILAMU HII INATARAJIA KUTOKA MWEZI WA NANE NA KUSAMBAZWA NA KAMPUNI YA STEPS








                                  



                        

NYETI ZA MWANAMUZIKI HUYO KAMA ZINAVYOONEKA AMBAPO KAAMUA KUWAONESHA WATANZANIA JINSI ALIVYOUUMBIKA.

Eeh Jamani hakika ukisikia habari hii lazima uamini Dunia hiyo ukingoni kutokana na watu ambao tunaamini wapo njia sahihi ya kuwasiadia bidamu wasio kuwa na imani lakini kumbe ndivyo sivyo. Msanii wa Nyimbo za Injili toka Mkoani Kilimanjaro wilaya ya Moshi aitwa ANITHET ameendelea kutikisha nchi kwa aibu ya kupiga picha mbaya zilinazokinzana na maadili ya nchi yetu huku bila kufahamu lengo lake ni nini.
 Hata  hivyo msanii huyo ambae nyimbo zake zinatikisa Mikoa hiyo ya Arusha na Kilimanjaro tukio hilo limewakera sana mastaa mbalimbali wa nyimbo za injili kwa kuwatia doa na kusema hakika sasa muziki wa injili umeingiliwa. Anitheti ambae pia alikuwa kuolewa na mtangazji Beny Kinyaiya na baadae waliachana.


0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king