Saturday, March 11, 2017

EXCLUSIVE NEWS: MSANII MANAIKI SANGA APOTEZA FAHAMU BAADA YA KULA HASARA YA MILIONI MIA TANO. NI YA POMBE KALI AINA YA VIROBA ZINAZOTAKIWA KUTEKETEZWA, ALAZWA HOSPITAL…!



 Msanii Manaiki Sanga kulia akiwa na Stan Bakora
  Msanii Manaiki Sanga kulia akiwa Irene Uwoya nchini Nigeria walipokwenda kushuhudia utoaji tuzo mbalimbali za Filamu barani Africa.

Na Pazia Jeusi. Tanzania
Msanii wa Bongo Movie Manaiki Sanga mwanazoni mwa wiki hii ameadaiwa kuzimia ziaidi ya mara nne kutokana na hasara ya kupoteza mali zenye thamani ya milioni mia tano za aina ya vinywaji vikali Viroba.

Akiongea na Pazia Jeusi mdogo wa masanii huyo aliyjitambulisha kwa jina la Ayubu Sanga alithibitisha kutokea tukio hilo la kaka yake kunusurika kifo kwa presha hadi kupelkea kuzimia kutokana na kupotza mali hizo.
Ayubu alisema “ Ni kweli bro amepatwa na hali hiyo hadi sasa ameshatoka Hospital huku Mufindi nyumbani ambapo hadi sasa anaendelea vizuri lakini Daktar wetu amekaa asiongee na simu kwa zaidi ya wiki moja hivyo hii simu yake ninayo mimi na nipo nae mbali kwani hatakiwi kusikioa chochote” Alisema Ayubu

Msanii Manaiki ambaye pia ni mfanyabiashara alikuwa anamiliki maduka kadhaa ya viwanji Mkoani Iringa, Mbeya na Morogoro. Habari zaidi zilieleza kuwa msanii huyo ana maduka ya kuuza jumla na lejaleja vinywaji hivyo na wakati amri ya Waziri Mkuu ilipotolewa ya kupiga marufuku matumizi ya voroba na wafanyabiashara wote kupewa muda kumaliza mzogo wao yeye alikuwa nchini Afrika Kusuni.
Na aliporejea akakuta tayari muda waliokuwa wamepewa umeshaisha.
Source: Maskanibongotz

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king