Thursday, March 30, 2017

SHEKH SHARIF KHAMIS AREJEA NA SIRI NZITO KWA WATANZANIA, ASEMA ATAKACHOWAFANYIA WATANZANIA MMH…!

Nyerere Shekh Sharif Khamis


Na Mwanaidi Othuman- Pazia Jeusi Tanzania
Baada ya ziara ya Kenya kwa takriban miezi mitano  kijana mwenye karama ya ajabu Shekh Sharif Khamis sasa amerejea nchini huku akitoa uwito kwa watanzania kutumia nafasi hiyo kufika kwake kwa ajiri  kupokea uponyaji kupitia dua atakazowaombie watanzania.

Akiongea na mwandishi wetu juzi wakati katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Shekh Sharif Khamis aliongea live na mwandishi wetu na kusema “ Ilikuwa nikitoka Kenya niende moja kwa moja nchini Uganda lakini kutokana na watanzania wengi wamekuwa wakihitaji huduma yangu na nimekuwa nikiwasiliana nao katika mitandao ya kijamii” Alisema 

Shekh Sharif Khamis aliongeza kusema  watanzania watumie nafasi hiyo kufika nyumbani kwake  Magomeni Mapipa Mtaa wa Takadir no35  na moja kwa moja watakutana nae.

 Shekh Sharif Khamis  aliongeza kusema kuwa maisha ya sasa yamekuwa na mambo mengi mikosi ridhiki zimekuwa ngum na hata wanabahatika kupata  hazikai katika mikono yao. Huu ni wakat wakumuomba MUNGU huo ndiyo uwito wake kwa watanzania, hivyo kwa vile MUNGU ametoa vipaya kwa waja wake hasa watu kama Yeye hivyo anamsihi kila mtu bila kujari dini yake kabila lake utaifa wake wafike kwake kwa ajiri kuombewa kuondokana na mikosi hiyo.

Dua z Sharif Khamis zimekuwa msaada mkubwa kwa watu mbalimbali katika nchi za Angola, Kongo, Libya, Afrika Kusini, Misri, Uturuk, Kenya Uganda, Zambia, Oman nk ambako kote huko amekuwa akifanya mambo makubwa katika dua zake ambapo.

Ikumbukwe kijana huyu ambaye ameanza kufanyakazi ya kumtumika Allah tangu akiwa na mwezi mmoja hadi leo na tangu akiwa na umri huo yeye amekuwa akiwatumikia watu kiasi cha kumfanya ashindwe kwenda shule za kidunia. Lakini MUNGU amekuwa akimfunulia kufanya makubwa sana katika maisha yake na ametaja namba yake ya simu kuwa ni +255 717688792.

Wote mnakaribishwa, hata wale wenye magonjwa sugu hao ndiyo anaashughurika nao sana, wenye mapepo ya kichawi nk ni nafasi yao.

Atakuwa nchini kwa miezi miwili tu

Source: Pazia Jeusi-Tanzania

 

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king