Wednesday, May 14, 2014

JIJI LA DAR LAWAKA MOTO, DOKTA KAMDEGE ATUA KIKOMANDOO WATU WASIMAMISHA MAJUKUMU YAO WAKIMBILIA KWAKE NI YULE MGANGA WA WASANII BONGO MOVIE..!


 MGANGA MAARUFU WA WASANII TANZANIA  NA VIONGOZI WA SERIKALI DOKTA KAMDGE AMBAPO AMEFIKIA TABATA JIJINI DAR.

  MGANGA MAARUFU WA WASANII TANZANIA  NA VIONGOZI WA SERIKALI DOKTA KAMDEGE AMBAPO AMEFIKIA TABATA JIJINI DAR.

  MGANGA HUYO AKIWA NA VIFAA VYA KAZI HUKO TABATA AMBAVYO AMEKUJA NAVYO KWA AJILI YA KUWASAIDIA WAKAZI WA JIJI LA DAR NA VITONGOZI VYAKE.
 Na Mwandishi Wetu
Hayawi hayawi hatimae yamekuwa yule mganga maarufu anaewasidia watu wengi kwenye maisha yao Dokta Kamdege ametua Jijini Dar mapema wiki hii kwa ajili ya kuwasaidia wakazi wa Jiji la Dar na vitongoji vyake.
Kwa mujibu wa taarifa aliyoitoa mratibu wa ziara ya mganga huyo anaetibu watu kutumia miti shamba na si vinginevyo aliyejitambulisha kwa jina la Hawamu Juma alisema" Ni muda mrefu Dokta Kamdege amekuwa kwenye ziara ndani ya nchi na nje na kutokana na maombi mengi ya wakazi wa Jiji la Dar pamoja na wale wa Zanzibar kumuhitaji aje hatimae ametua Jijini Dar na amefikia maeneo ya Tabata Shell", na atakuwa Dar kwa siku 20 kwa kazi moja tu ya kubadilisha maisha ya watu wenye shida" Alisema
Mganga huyo ambae amekuwa akitumiwa sana na vigogo mbalimbali wa Serikali pamoja wasanii maarufu kwa kuwanyooshea mambo yao, aidha pia mganga huyo atibu magonjwa mbalimbali na kuwafungua watu  wote wanaozungukwa na ushirikina licha ya kwamba wanafanyabishara usiku na mchana au wanaelimu nzuri lakini mafanikio hayaonekani hapo kwake ni tatizo dogo.
Aidha mganga huyo ametoa uwito kwa wakazi wa Jijini la Dar kutumia vyema nafasi hiyo kwa kufika kwake ili awasaidie kuweka sawa mambo yao kwani anasiku 20 tu za kuwepo Dar baada ya hapo ataondoka na ametaja namba zake za simu kwa wale wote wanaohitaji kupiga hatu au kupta mtoto, kazi, kuwa na mafanikio basi wampigie kupitia simu namba 0788-844490/0763-146231 na wataongea nae moja kwa moja na kuwalekeza mahala alipo.

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king