Thursday, April 7, 2016

RAIS MAGUFULI KIBOKO, ASAFIRI HADI RWANDA KWA GARI, AZIDI KUSHIKA UMAARUFU KWA KUSIMAMIA KAURI ZAKE ZA KU MINIMIZE BAJETI, ANGALIA PICHA HIZI HAPA..!

.
.
Ni safari ya kwanza ya nje ya nchi kwa Rais Magufuli toka alipoteuliwa kuwa Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania October 2015, kasafiri kwa gari kwenda Rwanda ambapo kwenye siku yake ya kwanza yeye pamoja na Rais Kagame wamezindua daraja la Rusumo kwenye mpaka wa Tanzania na Rwanda. 
.
.
.
.
.
.
.
.
.
ULIIKOSA YA RAIS MAGUFULI KUNUNULIA WATU SODA MWANZA NA YEYE KUKAA KULA KWENYE MGAHAWA? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king