Na Ripota wa Maskanibongotz
Hili si swar katika Jiji la Dar pamoja miji mingine mikubwa katika nchini Tanzania kufuatia dada mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Jolina Raia wa Jamhuri ya Kidemokrasa ya Kongo kufyatua za mahaba kisha kuzitupitia kama kawaida yao.
Dada huyo mwenye umbo tata kwa wanaume imemfanya kusakwa kwa udi na uvumba na wanaume ili wamle uroda, maskanibongotz imetonywa kuwa dada huyo ana Saloon yake ya Kiume na Kike ambapo ndani yake amebandika picha hii ili kuwavuta wanaume.
Credit: maskanibongotz
Browse » Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment