Sunday, March 15, 2015

JEURI YA FEDHA: NYUMBA MPYA YA MANNY PACQUIAO ATAKAYOFIKIA NCHINI MAREKANI WAKATI WA PAMBANO LAKE NA MAYWEATHER JR (VIDEO)...!



mansioBondia Manny Pacquiao ni dhahiri amejipanga vizuri kuhakikisha anatimiza ndoto zake za kuchukua ushindi dhidi ya mpinzani wake Floyrd Mayweather baada ya kununua jumba la kifahari alilokuwa anamiliki staa wa muziki Puff Dady, lililopo katika mji wa Bevery Hills.
Manny alifanya uamuzi huo baada ya kuridhishwa na nyumba hiyo yenye ukubwa wa futi 10,000 kwa kitita cha dola milioni 12.5 likiwa na kila kitu ndani yake.
Uamuzi huo umekuja ikiwa ni siku chache zimebakia kabla bondia huyo kupanda jukwaani katika pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mayweather litakalofanyika May 2 Los Angeles, Marekani ambapo familia yake kutoka Ufilipino itafikia hapo.

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king