Sunday, January 25, 2015

"JAMANI AKINA DADA SI MUOLEWE JAMANI MUME WA MTU NI SUMU KWELI ONA SASA ULIVYOPASULIWA NA CHUPA KISA?"

Mwanamke mkazi wa tabata matumbi ameonja joto ya jiwe baada ya kupasuliwa na chupa ya bia sehemu za kichwani baada ya kukutwa akiwa baa na mume wa rafiki yake kipenzi ambae jana aliaga atalala kazi baadae wakakutwa baa wakila gambe. kushoto mabaunsa wa baa hiyo wakimdhibiti mwanamke huyo asiendelee kukinukisa, mwanamke huyo aliyepasuliwa hakufahamika jina lake. Credit Maskanibongotz

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king