Friday, October 24, 2014

NDOA YA MFANYABIASHARA WA KARIAKOO ALIYENASWA MTEGO WA NGONO YASAMBATIKA MKE AFUNGASHA VILAGO NA KURUDI KWAO AHOFIA MARADHI YA UKIMWI..!







 MFANYABIASHARA TAJIRI DAUD MPENDA ALIYENASWA MTEGO WA NGONO
 DUKA LA DAUD MPENDA LA KUUZA SIMU LILIOPO MTAA WA AGREY MWANZO KABISA
Na Sakina Shabani
Unakumbuka lile sakata la mfanyabishara aliyenaswa na kwenye mtego wa ngono baada ta wananchi kuchoka na vitendo vya kifuska hatimae mfanyabishara huyo aliyefahamika kwa jina la Daud Mpenda amerejea nchini siku za hivi karibuni kufuatia kukimbia mji kwa aibu iliyomkuta huku kukiwa na taarifa kuwa mkewe amekimbia nyumba.
Habari za uhakika zilizonaswa na mtandao huu zinasema kuwa tajiri huyo tangu kutokea kwa tukio hilo la kunasa mtego wa ngono baada ya kuwekewa mtego na waandishi wa Habari kufuatia malalamiko mengi ya wananchi juu ya unyanyasaji wanaofanyiwa wasichana wafikapo dukani kwake.
Hata habari hizo zilisema kuwa mke wa Daud ambae ni Mhehe mara baada ya kutokea tukio la kufumaniwa na habari zake zake kusambaa mitandaoni pamoja na kwenye magazeti pendwa  huku picha za ushahidi zikioneka live bila king'amuzi basi mke huyo alifungasha kila kilicho chake na kurudi kwako pia sababu nyingine iliyosababisha kukimbia ni kuhofia maradhi  ya Ugonjwa wa Ukimwi kwani mme huyo ambae hupenda kufanya ngono nzembe.
Daud mbae mara baada ya kufumaniwa ilidaiwa alikimbilia nchini Afrika Kusini kupumnzika  ili so la aibu lipungue..!

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king