Benny Kinyaiya akiwa na Maimartha
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua UMMA msichna mmoja aliyefahamika kwa jina la NATASHA amepiga picha uchi MAKUSUDI na kuziasambaza mitandaoni kwa lengo la kutafuta wanaume wakware wa ngono.Mtandao huu bila kumsingizia mdadada huyo umenasa picha hizo kwenye account ya NATASHA ambae amezimwaga picha hizo na huku maelfu ya watu wakijionea sinema hiyo ya bure.
Habari zaidi zilisema kuwa NATASHA ambae anafanyakazi kwenye kampuni moja ya matangazao huku picha hizo zikimeachiwa msimu wa sikukuu ya Idd.
Kwa mujibu chanzo chetu kilisema kuwa msichana huyo amekuwa akimtuhumu mpenzi wake Benny Kinyaiya ndiye aliyevujisha picha hizo kwani hakuna mtu mwingine aliyekuwa nazo zaidi yake yeye.
Mtandao huu ulifanya jithadi za kuwatafuta wawili hao kwa ajili ya kjibu tuhuma hizo lakini kwa bahati mbaya hawakuweza kupatikana hadi habari hii inaruka hewani.
CREDIT: MASKANIBONGOTZ
0 comments:
Post a Comment