 |
FILAMU YA WAKE YAIBUKIA JANGWANI KWENYE MKUTANO WA CCM AMBAPO WIKI IJAYO TAREHE 31 INATARAJIA KUWA MTAANI! |
Kama kawaida uzinduzi wa kampeni za CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na madiwani, uzinduzi wa CCM ambao ulipambwa na uwepo pia wa makada wa CCM
kutoka katika tasnia ya filamu na wasanii wa bongofleva pia walikuwepo
licha ya kutokana na ufinyu wa muda waliopata nafasi ya kuperform hadi
sasa ni Peter Msechu, Yamoto Band na Diamond Platnumz sambamba na timu ya watu wake.
Kwa upande wa wasanii wa filamu na
baadhi ya wasanii wa muziki wa bongofleva wao walipanda katika stage na
kuimba wimbo wa taifa kwa pamoja.
Hizi ni picha zingine kutoka Jangawani
 |
Add caption |
0 comments:
Post a Comment