Monday, July 20, 2015

MSAKO WA POLISI WATISHA, WAKAMATA SILAHA ZILIZOPORWA KITUO CHA POLISI DAR, WAKUTWA NA MAMILIONI YA TSH..!


DSCI0035
Waandishi wa Habari.
Imetufikia ripoti kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dar kuhusu idadi ya watu waliokamatwa na wanahojiwa na Jeshi la Polisi wakihusishwa na tukio la uvamizi wa Kituo cha Polisi cha Stakishari, Dar.
DSCI0033
Helmet za pikipiki pamoja na bunduki.
Kingine ni kwamba watu hao wamekutwa na vitu mbalimbali… Vitu vyote vilivyopatikana vimekutwa na Polisi eneo la Mkuranga vikiwa vimefichwa ndani ya shimo.
Tayari nimepata picha kutoka Makao Makuu ya Polisi Dar es Salaam, silaha zilizopatikana zimeoneshwa hapa.. kulikokutwa hizo silaha kumekutwa na vitu vingine pia, ikiwemo pesa Milioni 170.
DSCI0042
Kamanda wa Polisi, Suleiman Kova.
DSCI0045
Kamanda Kova akionesha moja ya silaha zilizopatikana.
Pata bahati ya kuangalia demo ya filamu ya Wake Up iliyosheheni wasanii zaidi ya 30. Filamu hiyo inatarajia kutoka mwanzoni mwa mwezi wa nane
DSCI0052
DSCI0055
DSCI0059
DSCI0066
Hizi ni sehemu ya pesa zilizokamatwa ambazo jumla yake ni Milioni 170.
DSCI0080
Hapa kuna picha na majina ya watu ambao bado wanatafutwa na Polisi.
DSCI0085
Kati ya watu waliokamatwa wapo ambao walikutwa na hizi pikipiki ambazo zilitumika kwenye tukio la uvamizi.
DSCI0091
Kazi imeanza, sasahivi Vituo vya Polisi vitakuwa na CCTV camera kwa ajili ya Usalama.
DSCI0092
Camera tayari zimeanza kufungwa, hapa ni Makao Makuu ya Polisi Dar.
DSCI0095
Kamanda wa Polisi, Simon Silo ndio anayeongoza Oparesheni ya kusaka watuhumiwa wa tukio la uvamizi Kituo cha Polisi.

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king