Tuesday, July 21, 2015

MBUNGE WA KAHAMA AKINUKISHA NDANI YA CCM, ATUA CHADEMA KIKOMANDOO ATOA SABABU NZITO ZA KUKIMBIA HUKO..!



Aliyekuwa Mbunge wa Kahama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), James David Lembeli (kushoto) akiingia ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi akiwa ameongozana na mtoto wake, Wizilya Lembeli wakati akienda kutangaza kuondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
BOFYA HAPA KUONA DEMO YA FILAMU YA MANAIKI SANGA IITWAYO WAKE UP ILIYOWASHIRIKISHA WASANII ZAIDI YA 30 NDANI;
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kahama mkoani Shinyanga, James David Lembeli, akizungumza na waandishi wa habari Hoteli ya Blue Pearl Ubungo Dar es Salaam leo asubuhi wakati akitangaza kuondoka katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Pamoja na kutangaza nia ya kugombea ubunge kupitia chama hicho.
Lembeli akizungumza na wanahabari.
Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakichukua taarifa hiyo.

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king