Tizama picha ya ushahidi inayodaiwa kuonesha jinsi mtoo huyo anavyofanana na Manaiki ambae ni wa Miss Utalii aliyefahamika kwa jina la Fathiya Khalufan au Mrembo wa Facebook ambae chanzo chetu kimeeleza kuwa mrembo huyo ambae alikuwa na mahusiano na wanaume wote yani Manaiki na mshikaji ambae hafamiki jina lake lakini kipindi chote hicho Manaiki alikuwa anammega kisera Mrembo huyo bila jamaa kujua huku akielezwa na mrembo huyo kuwa amekwishaachana na Manaiki muda mrefu.
Mtandao huu unaendelea kuwatafuta wawili hao ili kuthibitsha suala hilo ili wapenzi wasomaji wetu waweze kujua ukweli wa mambo. Credit: Maskanibongotz
0 comments:
Post a Comment