Na Sakina Shabani
Mganga mashuhuri nchini ambae amejizolea umaarufu mkubwa kutokana na tiba zake za miti shamba ambazo zimekuwa msaada mkubwa kwa watanzania na watu wengine duniani.
Habari za uhakika zilizonaswa na mtandao huu zinasema kuwa siku chache kabla ya mastaa hao kutangza kurejesha mahusiano yao walionekana kwene kilinge cha mganga hyo wakifanya yao hali iliyowashtua wengi.
Aidha mganga huyo ambae kwa sasa bado yupo Jijini Dar hadi mwenzi mtukufu kumalizike ambapo baadae ataelekea nchini Kenya ambako anasubiriwa kwa hamu na wananchi wa huko, hata hivyo mganga huyo ameendelea kutoa uwito kwa wakazi wa Jiji la Dar kuendelea kujitokeza kwa ajili ya kupata baraka zake kwani wako wananchi wengi wamefungwa na nguvu za giza licha ya kujituma lakini hawapati hela ya maana zaidi ya kuishia hela ya kula.
Ambapo alisema watu wamtafute 0788-844490
0 comments:
Post a Comment