Tuesday, June 14, 2016

HII HATARI. TIZAMA PICHA 15 ZA MASHOGA WALIONUSURIKA KIFO KWENYE CLUB YA USIKU, MASHOGA WALIOPOTEZA WAPENZI WAO WASUSA KULA NA KUNYWA SIKU YA TATU LEO, MASHOGA WA TANZANIA WAOMBOLEZA KIMYA KIMYA KUOGOPA KUJURIKANA, MASKANIBONGOTZA IMEKUWEKE PICHA ZA TUKIO ZIMA HIZO...!

 Mmoja wa mshoga mashoha hao aliyepoteza mpenzi wake akizungumza kwa masikitiko makubwa, huku akisema amesusa kula kwa siku ya tatu hadi.
 Huyu pia akilia kwa uchungu baada ya kumpoteza mchumbaake ambae ni shoga mwenzake, kwa mujibu wa mtandao mmoja nchini Marekani unasema kijana huyu anasema tayari alishavishwa pete ilibaki kuoana tu.
Hawa ni wapenzi ambao siku ya tukio wao hawakwenda night club
 Hawa ni kati ya wale mateka waliokuwa wametekwa na muuaji Omar Mateen ambae baadae waliokolewa na polisi kisha kijana huyo kuuawa.
Miili ya mashoga hiyo ikiwekwa sawa kuingizwa kwenye majokofu.
 Hwa ni wale wanawake wasagaji ambao walinusa kifo.
Afisa Usalama toka FBI kiangalia njia alizopitia muuaji na kuingia ndani na machine gun
Mateka wakilia kwa uchungu baada ya kupoteza wenza wao ambao ni mashoga wenzao.
 Polisi wakiokota miili ya mashoga hao.
 Shoga huyu ambae nae amesusa kula wala kunywa kwa kumpoteza kipenzi chake.


Mkuu wa kitengo cha FBI kwenye jimbo la Orlando akiwasili eneo la tukio kwa uchunguzi zaidi.
Hawa wakiomboleza vifo vya mashoha hao kwa staili hii.
 Omar Mateen muuaji kama anavyoonekana enzi za uhai wake. ambapo habari zaidi zilisema kuwa muuaji huyo siku moja akiwa na umri wa miaka kumi na tano akiwa na baba'ake mzazi aliwahi kushuhudia wanaume kwa wanaume wakibusiana achukuia sana kile kitu, akamwambia Baba yake kuwa iko siku atakuja kufanya kitu kibaya dhidi ya mashoga hadi ulimwengu utakuja kushangaa..!
Hapa mashoga wakiwasha mishumaa kama ishara ya kuwakumbuka wenzao.


Hata hivyo inaelezwa kuwa mashoga wa Tanzania nao wapo kwenye majonzi mazito sana ila wanashindwa kujitokeza kulaani kitendo hichi.
Source: Maskanibongotz kwa msaada wa mtandao

0 comments:

Post a Comment

.

 

Copyright © MASKANI BONGO Design by Livingstone Mkoi | Blogger Theme by BTDesigner | Powered by seleman king